Kambi la Pasaka CASFETA-TAYOMI...Morogoro lazidi kumtukuza Mungu,Ikiwa ni siku ya kwanza,wanachama wafundishwa masomo yakumtukuza Mungu na jinsi ya kuishi maisha matakatifu Duniani,baadhi ya masomo hayo ni Kijana jitahidi kuwa Mfano katika jamii/Taifa,Ijue Tayomi na maono yake,Jinsi kijana anavyoweza kujikwamua kiuchumi.n.k
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni